Showing posts with label Kiswahili. Show all posts
Showing posts with label Kiswahili. Show all posts

Tuesday, November 6, 2012

Poem: My Heart Has Chosen by Anonymous

By Anonymous
(I found this poem in my laptop and it blew me away though all of my friends say they didn’t compose it. It’s simplicity makes me want to share here it here)
My heart has chosen                                            
But society frowns at me
I went out of my way, to assist a needy person
Anajifanya mzuri atachoka tu!
 
My heart has chosen
But society frowns at me
When I offered my resources
To the one who had none
Anajiona sonko atasota soon
 
My heart has chosen
But society frowns at me
I saw and loved you
But u weren’t good enough for them
Yet it’s between you and me
Hawa lovebirds tuwape muda watabreak tu!
 
Yes my heart has chosen
But society frowns at me
Am I to turn from my neighbour in need?
Turn away from the one I love?
Close my eyes and ears to the ills around me?
Tell me so coz you could be the next my heart chooses!
 

Thursday, January 5, 2012

Kirinyaga: Jombi ataka kujitoa uhai baada ya kunyimwa chakula na Mwangi Wilson Murimi

Picha kutoka kwa tovuti
Kalameni mmoja katika eneo la Kirinyaga ya kati aliwashangaza wengi, pale alipotishia kujitoa uhai baada ya mzozo na bibi yake kuhusu chakula kugeukia mweleka wa kifamilia.
Mzozo huo ulianza pale jombi huyo aliporejea nyumbani nyakati za  asubuhi akiwa mlevi chakari, na kudai apewe chakula na mkewe. Hata hivyo bibi yake aliyekuwa amechoshwa na ulevi wa bwanake wa kila siku alimwambia peupe akatafute chakula kwa mama pima. “Nenda ukatafuate chakula huko unakolewa kila siku”, alisema bibi yake.
 Tamshi hilo lilimkera jombi hiyo, aliyemkaba koo mkewe alitumai kuwa hili lingempelekea kuubadili msismamo wako wa awali, lakini kinyume na matarajio yake, mkewe akinyakua ukuni na kumgonga.
Na huku jombi huyo akiachilia shingo yake, mkewe naye alimvamia kwa chochote kilichokuwa pale jikoni, zikiwemo sufuria na vikombe, jambo lililowavutia wanakijiji wengi kujitamazia mweleka wa bure.
Hakuna aliyefanya juhudi zozote kuwatengamisha wawili hao, labda kwa hofu kuwa kufanya hivyo kungeukatisha mweleka huo wa bure ambao ulikuwa ukijiri.
Katikati mwa vurumai hilo, mkewe alisikika akinung’una kuwa mmewe alizoea kutoka ulevini na kulala bila kutekeleza wajibu wake kama bwana. “Mwaname wa saa ngapi huyu, anayejilaza kama mfu?” alisema mwanamke huyo.
Mambo yalizidi unga pale, mwalimu mmjoa wa shule ya msingi kuoka eneo hilo anayedaiwa kuhusika mapenzi kisiri  na mwanamke huyo alipofika pale na kujaribu kuwatenganisha.
Mawazoni pa jombi huyo, wawili hao wakinuia kummaliza ili kupata nafasi kuendeleza uhusiano wao, ndipo akadai kuwa angejitoa uhai. “Kumbe mwatataka kuniua ndio niwaondokee na kumpa nafasi sivyo?” alisema Jombi huyo, “Afadhali nijitoe uhai mwenyewe”
Kicheko cha waliokusanyaika kilikatizwa na mshangao pale bibi yake alipodai kuwa angemhakikishia kuwa amelala pema peponi akijitia kitanzi, jambo ambalo lilimfadhaisha jombi huyo, aliyetoka na kwenda zake akidai kuwa angerejea akiwa mfu.
Mwandishi ni Mwanafunzi katika taaluma ya utangazaji na uanahabari chuoni Maseno na mhariri wa jarida la Equator Weekly

Wednesday, July 20, 2011

A poem called A sheng poem by Manuel Odeny

Yeah man (mic is on)

mimi ni da best
riding the wave kwa crest
ku-land mtaani ni East wala sio West (lands)
shika biaf na da-best to join the rest
ni-siense da best to waive the rest
themes kwa heart ku-nest
kuangusha ki-biro ki-viagra na ease bila test
mistari mikali bila rest
nikichill ki-ndom bila vest
chupa na glass ndani ni Krest,

Yeah
(Written at 02:46 am yesterday in insomniac night to lull back to sleep)

Tuesday, June 28, 2011

VP officially launches The Kenya 2009/2010 Yearbook

Masai morans, they have been a cultural symbol in kenya. The Yearbook will contain authoritative and authentic information about the country.
Vice President Kalonzo Musyoka  has officialy launched the 2009/2010 edition of Kenya Yearbook today at Laico Regency Hotel in Nairobi.
As an official source of information for the country the yearbook covers a wide range of subjects like Kenya’s history, culture, economy, sports and infrastructure development amongst others.
“The Kenyan yearbook is an authoritative and authentic source of information about historical and contemporary governments, private sector and individual in development of the country” Mr. Kalonzo said.
The VP added that information contained in the yearbook is an invaluable resource locally and internationally to students, teachers, researchers and tourists interested in the country.
The book has been launched in both hard and digital copy to embrace the country’s digital advancement through the 20,000 kilometers fiber cables that has increased broadband and ICT services.
“By going online I challenge Kenya publishers to take full advantage of digital technology which is cheaper by reduction of physical storage, production and revision” the VP said.
Publishers should also use the internet to seamlessly with consumers and other stake holders to share information, queries and sales by forming an online community.
Mr. Kalonzo congratulated the Kenya Yearbook staff lead by Catherine Waweru for their efforts in editing and compiling the 1.150 page publication saying the book will be available for institutions country wide.
He challenged the team to translate the Yearbook in Kiswahili to promote the use of the national language.
The occasion was also attended by Minister and Permanent Secretary of Ministry of Information, communication and Technology Samwel Poghisio and Bitange Ndemo respectively.